WATU 267, 261 WAFIKIWA NA KAMPENI YA ELIMU NA UHAMASISHAJI CHANJO YA SURUA

Na.Elimu ya Afya kwa Umma. Katika utekelezaji wa  agizo la  Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu la kuhakikisha  kuanzisha kampeni ya   Hamasa na Elimu kwa jamii umuhimu wa chanjo ya Surua, jumla ya watu 267, 261 wamefikiwa na elimu hiyo  Wilayani Mlele  mkoani Katavi   kwa njia ya magari ya matangazo na kwa njia ya sinema huku