WATU 267, 261 WAFIKIWA NA KAMPENI YA ELIMU NA UHAMASISHAJI CHANJO YA SURUA
Na.Elimu ya Afya kwa Umma. Katika utekelezaji wa agizo la Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu la kuhakikisha kuanzisha kampeni ya Hamasa na Elimu kwa jamii umuhimu wa chanjo ya Surua, jumla ya watu 267, 261 wamefikiwa na elimu hiyo Wilayani Mlele mkoani Katavi kwa njia ya magari ya matangazo na kwa njia ya sinema huku
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed